Yoshua 18:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 na Zela,+ Ha-elefu na Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea+ na Kiriathi; majiji kumi na manne na makao yake. Huo ndio uliokuwa urithi wa wana wa Benyamini kulingana na familia zao.+ Waamuzi 1:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Zaidi ya hayo, wana wa Yuda wakaendelea kupigana vita na jiji la Yerusalemu+ nao wakaliteka, wakalipiga kwa makali ya upanga, kisha wakateketeza jiji hilo kwa moto.
28 na Zela,+ Ha-elefu na Yebusi, yaani, Yerusalemu,+ Gibea+ na Kiriathi; majiji kumi na manne na makao yake. Huo ndio uliokuwa urithi wa wana wa Benyamini kulingana na familia zao.+
8 Zaidi ya hayo, wana wa Yuda wakaendelea kupigana vita na jiji la Yerusalemu+ nao wakaliteka, wakalipiga kwa makali ya upanga, kisha wakateketeza jiji hilo kwa moto.