Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Na mpaka huo ukapanda hadi bonde la mwana wa Hinomu+ kwenye mteremko wa Myebusi+ upande wa kusini, yaani, Yerusalemu;+ na mpaka huo ukapanda hadi kwenye kilele cha mlima unaoelekeana na bonde la Hinomu upande wa magharibi, ambao uko mwisho wa nchi tambarare ya chini ya Refaimu+ upande wa kaskazini.

  • Waamuzi 19:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Hata hivyo, mwanamume huyo hakukubali kulala usiku kucha, bali alisimama, akaondoka na kwenda mpaka mbele ya Yebusi,+ yaani, Yerusalemu;+ naye alikuwa na wale punda-dume wawili waliotandikwa, na suria wake na mtumishi wake.

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Baadaye Daudi na Israeli wote wakaenda Yerusalemu,+ yaani, Yebusi,+ ambapo Wayebusi+ ndio waliokuwa wakaaji wa nchi hiyo.

  • 2 Mambo ya Nyakati 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Mwishowe Sulemani akaanza kujenga nyumba ya Yehova+ katika Yerusalemu juu ya Mlima Moria,+ ambapo Yehova alikuwa amemtokea Daudi baba yake,+ mahali ambapo Daudi alikuwa ametayarisha kwenye uwanja wa kupuria wa Ornani+ Myebusi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki