2 Samweli 24:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, na Yehova akakubali kusihiwa+ kwa ajili ya nchi, hivi kwamba ile tauni ikakomeshwa juu ya Israeli. 1 Mambo ya Nyakati 21:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Naye malaika wa Yehova akamwambia Gadi+ amwambie Daudi apande kwenda kumsimamishia Yehova madhabahu kwenye uwanja wa kupuria wa Ornani Myebusi.+
25 Na Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, na Yehova akakubali kusihiwa+ kwa ajili ya nchi, hivi kwamba ile tauni ikakomeshwa juu ya Israeli.
18 Naye malaika wa Yehova akamwambia Gadi+ amwambie Daudi apande kwenda kumsimamishia Yehova madhabahu kwenye uwanja wa kupuria wa Ornani Myebusi.+