Kutoka 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na ikiwa utanifanyia madhabahu ya mawe, usiijenge kwa mawe yaliyochongwa. Ikiwa utatumia tindo juu yake, basi utaitia unajisi.+ 1 Mambo ya Nyakati 21:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Ndipo Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, naye akamwitia Yehova,+ambaye sasa alimjibu kwa moto+ kutoka mbinguni juu ya madhabahu ya toleo la kuteketezwa. 1 Mambo ya Nyakati 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo Daudi akasema: “Hii ndiyo nyumba+ ya Yehova, Mungu wa kweli, na hii ndiyo madhabahu+ kwa ajili ya toleo la kuteketezwa kwa ajili ya Israeli.”
25 Na ikiwa utanifanyia madhabahu ya mawe, usiijenge kwa mawe yaliyochongwa. Ikiwa utatumia tindo juu yake, basi utaitia unajisi.+
26 Ndipo Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, naye akamwitia Yehova,+ambaye sasa alimjibu kwa moto+ kutoka mbinguni juu ya madhabahu ya toleo la kuteketezwa.
22 Ndipo Daudi akasema: “Hii ndiyo nyumba+ ya Yehova, Mungu wa kweli, na hii ndiyo madhabahu+ kwa ajili ya toleo la kuteketezwa kwa ajili ya Israeli.”