Kutoka 20:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na ikiwa utanifanyia madhabahu ya mawe, usiijenge kwa mawe yaliyochongwa. Ikiwa utatumia tindo juu yake, basi utaitia unajisi.+ 2 Samweli 24:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Na Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, na Yehova akakubali kusihiwa+ kwa ajili ya nchi, hivi kwamba ile tauni ikakomeshwa juu ya Israeli.
25 Na ikiwa utanifanyia madhabahu ya mawe, usiijenge kwa mawe yaliyochongwa. Ikiwa utatumia tindo juu yake, basi utaitia unajisi.+
25 Na Daudi akamjengea Yehova madhabahu+ hapo na kutoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika, na Yehova akakubali kusihiwa+ kwa ajili ya nchi, hivi kwamba ile tauni ikakomeshwa juu ya Israeli.