Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 21:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Kisha wakazika mifupa ya Sauli na Yonathani mwana wake katika nchi ya Benyamini huko Sela+ katika kaburi la Kishi+ baba yake, ili wafanye kila jambo ambalo mfalme alikuwa ameamuru. Basi Mungu akakubali kusihiwa kwa ajili ya nchi baada ya mambo hayo.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Tena, Yehova akampa amri yule malaika,+ naye akarudisha upanga katika ala yake.

  • 2 Mambo ya Nyakati 33:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+

  • Isaya 19:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Na Yehova hakika ataipiga Misri.+ Kutakuwako kupigwa na kuponywa;+ nao lazima warudi kwa Yehova,+ naye atakubali kusihi kwao na kuwaponya.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki