14 Kisha wakazika mifupa ya Sauli na Yonathani mwana wake katika nchi ya Benyamini huko Sela+ katika kaburi la Kishi+ baba yake, ili wafanye kila jambo ambalo mfalme alikuwa ameamuru. Basi Mungu akakubali kusihiwa kwa ajili ya nchi baada ya mambo hayo.+
13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+