1 Mambo ya Nyakati 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nao wakaja kusaidiwa kupigana nao, hivi kwamba Wahagri na wale wote waliokuwa pamoja nao wakatiwa mkononi mwao, kwa maana walikuwa wameomba msaada+ kutoka kwa Mungu katika vita, naye akakubali kusihiwa awape kibali kwa sababu walimtegemea.+ Ezra 8:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Basi tukafunga+ na kumwomba+ Mungu wetu kuhusu jambo hilo, naye akakubali maombi+ yetu.
20 Nao wakaja kusaidiwa kupigana nao, hivi kwamba Wahagri na wale wote waliokuwa pamoja nao wakatiwa mkononi mwao, kwa maana walikuwa wameomba msaada+ kutoka kwa Mungu katika vita, naye akakubali kusihiwa awape kibali kwa sababu walimtegemea.+