Zaburi 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wale wanaolijua jina lako watakutegemea,+Kwa maana hakika hutawaacha wale wanaokutafuta, Ee Yehova.+ Zaburi 20:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wengine hutaja kuhusu magari na wengine kuhusu farasi,+Lakini sisi, tutataja kuhusu jina la Yehova Mungu wetu.+ Zaburi 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Baba zetu walikutegemea wewe;+Walikutegemea, nawe ukaendelea kuwaokoa.+ Waebrania 11:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 ambao kupitia imani walishinda falme katika mapambano,+ wakatenda uadilifu,+ wakapata ahadi,+ wakaziba vinywa vya simba,+
10 Na wale wanaolijua jina lako watakutegemea,+Kwa maana hakika hutawaacha wale wanaokutafuta, Ee Yehova.+
7 Wengine hutaja kuhusu magari na wengine kuhusu farasi,+Lakini sisi, tutataja kuhusu jina la Yehova Mungu wetu.+
33 ambao kupitia imani walishinda falme katika mapambano,+ wakatenda uadilifu,+ wakapata ahadi,+ wakaziba vinywa vya simba,+