18 Katika siku hiyo kutakuwa na majiji matano katika nchi ya Misri+ yanayosema lugha ya Kanaani+ na kuapa+ kwa Yehova wa majeshi. Jiji moja litaitwa Jiji la Kubomoa.
44Neno lililomjia Yeremia kwa ajili ya Wayahudi wote waliokuwa wakikaa katika nchi ya Misri,+ wale waliokuwa wakikaa kule Migdoli+ na Tahpanhesi+ na Nofu+ na katika nchi ya Pathrosi,+ likisema: