Ezekieli 29:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo tazama, niko juu yako na juu ya mifereji yako ya Nile,+ nami nitaifanya nchi ya Misri iwe mahali palipoharibiwa, ukavu, mahame yaliyotiwa ukiwa,+ kutoka Migdoli+ hadi Sewene+ na hadi mpaka wa Ethiopia. Ezekieli 30:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Yehova amesema hivi, ‘Wanaounga mkono Misri lazima waanguke pia, na fahari ya nguvu zake lazima ishuke chini.’+ “ ‘Kutoka Migdoli+ mpaka Sewene+ wataanguka ndani yake kwa upanga,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.
10 Kwa hiyo tazama, niko juu yako na juu ya mifereji yako ya Nile,+ nami nitaifanya nchi ya Misri iwe mahali palipoharibiwa, ukavu, mahame yaliyotiwa ukiwa,+ kutoka Migdoli+ hadi Sewene+ na hadi mpaka wa Ethiopia.
6 “Yehova amesema hivi, ‘Wanaounga mkono Misri lazima waanguke pia, na fahari ya nguvu zake lazima ishuke chini.’+ “ ‘Kutoka Migdoli+ mpaka Sewene+ wataanguka ndani yake kwa upanga,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.