7 Mahali palipo wazi kando ya Mto Nile, penye kinywa cha Mto Nile, na kila udongo wa kupanda mbegu wa Mto Nile zitakauka.+ Hakika zitafukuziwa mbali, nazo hazitakuwapo tena.
12 Nami nitaifanya mifereji ya Nile+ iwe nchi kavu na kuiuza nchi mkononi mwa watu wabaya,+ nami nitaifanya nchi na vyote vinavyoijaza ifanywe ukiwa kwa mkono wa wageni.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.’+