12 Na wageni, watu wa mataifa wenye kuonea, wataukata, na watu watauacha milimani; na katika mabonde yote majani yake hakika yataanguka, na matawi yake yatavunjwa katikati ya sakafu zote za vijito vya dunia.+ Na vikundi vyote vya watu wa dunia watashuka kutoka katika kivuli chake na kuuacha.+