Danieli 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Alikuwa akiita kwa sauti kubwa, naye alikuwa akisema hivi: “Ukateni mti uanguke,+ na kuyakata matawi yake. Angusheni majani yake, na kutawanya matunda yake. Mnyama na akimbie kutoka chini yake, na ndege kutoka katika matawi yake.+
14 Alikuwa akiita kwa sauti kubwa, naye alikuwa akisema hivi: “Ukateni mti uanguke,+ na kuyakata matawi yake. Angusheni majani yake, na kutawanya matunda yake. Mnyama na akimbie kutoka chini yake, na ndege kutoka katika matawi yake.+