26 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kiondoe kilemba, na kulivua taji.+ Hili halitakuwa tena kama lilivyo.+ Kiinue kilicho chini,+ na ukishushe kilicho juu.+
27 Nitaliharibu, nitaliharibu, nitaliharibu.+ Nalo hili pia, hakika hili halitakuwa la mtu yeyote mpaka atakapokuja yule aliye na haki ya kisheria,+ nami nitampa yeye.’+
20 Lakini moyo wake ulipojivuna na roho yake ikawa ngumu, akatenda kwa kimbelembele,+ alishushwa kutoka katika kiti cha ufalme wake, akaondolewa heshima yake.+