Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 21:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kiondoe kilemba, na kulivua taji.+ Hili halitakuwa tena kama lilivyo.+ Kiinue kilicho chini,+ na ukishushe kilicho juu.+

  • Ezekieli 21:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nitaliharibu, nitaliharibu, nitaliharibu.+ Nalo hili pia, hakika hili halitakuwa la mtu yeyote mpaka atakapokuja yule aliye na haki ya kisheria,+ nami nitampa yeye.’+

  • Danieli 4:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Neno lile lilipokuwa bado kinywani mwa mfalme, sauti ikashuka kutoka mbinguni: “Wewe unaambiwa, Ee Mfalme Nebukadneza, ‘Ufalme umeondoka kwako.+

  • Danieli 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini moyo wake ulipojivuna na roho yake ikawa ngumu, akatenda kwa kimbelembele,+ alishushwa kutoka katika kiti cha ufalme wake, akaondolewa heshima yake.+

  • Luka 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kwa kweli, tayari shoka limewekwa kwenye mzizi wa miti; kwa hiyo, kila mti usiozaa matunda mazuri unapaswa kukatwa na kutupwa ndani ya moto.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki