Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya enzi haitageuka kando kutoka kwa Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo aje;+ na vikundi vya watu vitamtii yeye.+

  • Zaburi 89:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 “Nimefanya agano kumwelekea mchaguliwa wangu;+

      Nimemwapia Daudi mtumishi wangu,+

  • Zaburi 110:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 110 Neno la Yehova kwa Bwana wangu ni:+

      “Keti kwenye mkono wangu wa kuume+

      Mpaka niwaweke adui zako kuwa kiti cha miguu yako.”+

  • Isaya 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Kwa maana kuna mtoto ambaye amezaliwa kwetu,+ kuna mwana ambaye tumepewa;+ na utawala wa ukuu utakuwa juu ya bega lake.+ Naye ataitwa jina Mshauri wa Ajabu,+ Mungu Mwenye Nguvu,+ Baba wa Milele,+ Mkuu wa Amani.+

  • Isaya 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na itakuwa katika siku hiyo+ kwamba patakuwa na mzizi wa Yese+ ambao utakuwa unasimama kuwa ishara kwa ajili ya vikundi vya watu.+ Mataifa yatamtafuta yeye ili kuuliza habari zake,+ na mahali pake pa kupumzikia patakuwa patukufu.+

  • Ezekieli 37:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nao kwa kweli watakaa juu ya nchi niliyompa mtumishi wangu, Yakobo, ambamo mababu zenu walikaa,+ nao kwa kweli watakaa juu yake,+ wao na wana wao na wana wa wana wao mpaka wakati usio na kipimo,+ na Daudi mtumishi wangu atakuwa mkuu wao mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Luka 1:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi;+ na Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme+ cha Daudi baba yake,+

  • Waroma 15:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na tena Isaya anasema: “Patakuwa na mzizi wa Yese,+ na patakuwa na mmoja ambaye atasimama ili kutawala mataifa;+ na mataifa yatamtumainia yeye.”+

  • Ufunuo 5:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini mmoja wa wale wazee akaniambia: “Acha kulia. Tazama! Simba ambaye ni wa kabila la Yuda,+ mzizi+ wa Daudi,+ ameshinda+ ili akifungue kitabu hicho cha kukunjwa na mihuri yake saba.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki