Ezekieli 34:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na mimi mwenyewe, Yehova, nitakuwa Mungu wao,+ na mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu katikati yao.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema. Luka 1:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi;+ na Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme+ cha Daudi baba yake,+ Yohana 12:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kwa hiyo umati wakamjibu: “Sisi tulisikia kutoka katika Sheria kwamba Kristo hudumu milele;+ basi kwa nini unasema kwamba lazima Mwana wa binadamu ainuliwe?+ Huyo Mwana wa binadamu ni nani?”+
24 Na mimi mwenyewe, Yehova, nitakuwa Mungu wao,+ na mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu katikati yao.+ Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema.
32 Huyo atakuwa mkuu+ naye ataitwa Mwana wa Aliye Juu Zaidi;+ na Yehova Mungu atampa kiti cha ufalme+ cha Daudi baba yake,+
34 Kwa hiyo umati wakamjibu: “Sisi tulisikia kutoka katika Sheria kwamba Kristo hudumu milele;+ basi kwa nini unasema kwamba lazima Mwana wa binadamu ainuliwe?+ Huyo Mwana wa binadamu ni nani?”+