Mathayo 27:54 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 54 Lakini yule ofisa-jeshi na wale waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu, walipoona tetemeko la nchi na mambo yaliyokuwa yakitendeka, wakaogopa sana, wakisema: “Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”+ Yohana 1:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Nathanaeli akamjibu: “Rabi, wewe ndiye Mwana wa Mungu,+ wewe ndiye Mfalme+ wa Israeli.”
54 Lakini yule ofisa-jeshi na wale waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu, walipoona tetemeko la nchi na mambo yaliyokuwa yakitendeka, wakaogopa sana, wakisema: “Hakika huyu alikuwa Mwana wa Mungu.”+