Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 17:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Nami nitatimiza agano langu kati yangu mimi na wewe+ na uzao wako baada yako kulingana na vizazi vyao kuwa agano la mpaka wakati usio na kipimo,+ ili kujionyesha mwenyewe kuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.+

  • Kutoka 29:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Nami nitakaa katikati ya wana wa Israeli, nami nitakuwa Mungu wao.+

  • Yeremia 31:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Wakati huo,” asema Yehova, “Nitakuwa Mungu kwa familia zote za Israeli; nao watakuwa watu wangu.”+

  • Zekaria 13:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nami nitaleta sehemu hiyo ya tatu kupitia moto;+ nami nitawasafisha kama vile fedha inavyosafishwa,+ na kuwajaribu kama vile dhahabu inavyojaribiwa.+ Nayo italiitia jina langu, nami nitaijibu.+ Nitasema, ‘Ni watu wangu,’+ nayo itasema, ‘Yehova ni Mungu wangu.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki