Zaburi 144:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wenye furaha ni watu ambao mambo yako hivyo kwao!”Wenye furaha ni watu ambao Mungu wao ni Yehova!+ Ufunuo 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yeyote anayeshinda atarithi vitu hivi, nami nitakuwa Mungu wake+ naye atakuwa mwanangu.+
15 Wenye furaha ni watu ambao mambo yako hivyo kwao!”Wenye furaha ni watu ambao Mungu wao ni Yehova!+