Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 33:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+

      Watu ambao amewachagua wawe urithi wake.+

  • Zaburi 37:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana watenda-maovu watakatiliwa mbali,+

      Bali wale wanaomtumaini Yehova ndio watakaoimiliki dunia.+

  • Zaburi 37:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+

      Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+

  • Zaburi 89:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wenye furaha ni watu wanaojua vigelegele vya shangwe.+

      Ee Yehova, katika nuru ya uso wako wanaendelea kutembea.+

  • Zaburi 146:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,+

      Ambaye tumaini lake liko katika Yehova Mungu wake,+

  • Luka 11:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Lakini akasema: “Hapana, badala yake, Wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+

  • Yakobo 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki