Zaburi 33:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Lenye furaha ni taifa ambalo Mungu wake ni Yehova,+Watu ambao amewachagua wawe urithi wake.+ Zaburi 37:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana watenda-maovu watakatiliwa mbali,+Bali wale wanaomtumaini Yehova ndio watakaoimiliki dunia.+ Zaburi 37:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+ Zaburi 89:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wenye furaha ni watu wanaojua vigelegele vya shangwe.+Ee Yehova, katika nuru ya uso wako wanaendelea kutembea.+ Zaburi 146:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,+Ambaye tumaini lake liko katika Yehova Mungu wake,+ Luka 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini akasema: “Hapana, badala yake, Wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+ Yakobo 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.
9 Kwa maana watenda-maovu watakatiliwa mbali,+Bali wale wanaomtumaini Yehova ndio watakaoimiliki dunia.+
37 Mwangalie mtu asiye na lawama na uendelee kumwangalia mnyoofu,+Kwa maana wakati ujao wa mtu huyo utakuwa wenye amani.+
15 Wenye furaha ni watu wanaojua vigelegele vya shangwe.+Ee Yehova, katika nuru ya uso wako wanaendelea kutembea.+
5 Mwenye furaha ni yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,+Ambaye tumaini lake liko katika Yehova Mungu wake,+
28 Lakini akasema: “Hapana, badala yake, Wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+
25 Lakini yeye anayechunguza ndani ya sheria kamilifu+ iliyo ya uhuru na ambaye hudumu katika hiyo, mtu huyo, kwa sababu amekuwa, si msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi,+ atakuwa mwenye furaha+ katika kuitenda.