Ayubu 42:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Naye Yehova akaubariki+ mwisho wa Ayubu baadaye kuliko mwanzo wake,+ hivi kwamba akawa na kondoo kumi na nne elfu na ngamia elfu sita na jozi elfu moja za ng’ombe na punda-jike elfu moja. Ayubu 42:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye Ayubu akaendelea kuishi miaka 140+ baada ya mambo hayo, akaona wanawe na wajukuu wake+—vizazi vinne. Methali 28:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Anayewapoteza wanyoofu+ waingie katika njia mbaya ataanguka katika shimo lake mwenyewe,+ lakini wasio na kosa watapata mema.+ Isaya 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na watu wangu watakaa katika makao yenye amani na katika makao ya uhakika kamili na katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.+
12 Naye Yehova akaubariki+ mwisho wa Ayubu baadaye kuliko mwanzo wake,+ hivi kwamba akawa na kondoo kumi na nne elfu na ngamia elfu sita na jozi elfu moja za ng’ombe na punda-jike elfu moja.
16 Naye Ayubu akaendelea kuishi miaka 140+ baada ya mambo hayo, akaona wanawe na wajukuu wake+—vizazi vinne.
10 Anayewapoteza wanyoofu+ waingie katika njia mbaya ataanguka katika shimo lake mwenyewe,+ lakini wasio na kosa watapata mema.+
18 Na watu wangu watakaa katika makao yenye amani na katika makao ya uhakika kamili na katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.+