Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Tazama! Hao ndio, kupitia kwa neno la Balaamu, waliowashawishi wana wa Israeli kukosa uaminifu+ kwa Yehova juu ya lile jambo la Peori,+ hivi kwamba tauni ikaja juu ya kusanyiko la Yehova.+

  • 1 Samweli 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na sasa, tafadhali, bwana wangu mfalme na ayasikilize maneno ya mtumishi wake: Ikiwa ni Yehova aliyekuchochea juu yangu, na anuse harufu ya toleo la nafaka.+ Lakini ikiwa ni wanadamu,+ wamelaaniwa mbele za Yehova,+ kwa sababu leo wamenifukuza nisione kuwa nimeshikamana na urithi wa Yehova,+ wakisema, ‘Nenda, tumikia miungu mingine!’+

  • Waroma 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sasa nawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko+ na kusababisha kukwazika kinyume cha fundisho+ ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki