Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 19:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+

  • Kumbukumbu la Torati 26:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye Yehova, amekufanya useme leo kwamba utakuwa kikundi cha watu wake, mali ya pekee,+ kama vile alivyokuahidi,+ na kwamba utashika amri zake zote,

  • Kumbukumbu la Torati 32:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa maana fungu la Yehova ni watu wake;+

      Yakobo ndiye mgawo anaorithi.+

  • 2 Samweli 20:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mimi nawakilisha wenye kufanya amani+ na waaminifu+ wa Israeli. Unatafuta kuua jiji+ na mama katika Israeli. Kwa nini uumeze+ urithi+ wa Yehova?”

  • Zaburi 135:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana Yah amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe,+

      Israeli awe mali yake ya pekee.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki