Kutoka 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+ Kumbukumbu la Torati 32:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana fungu la Yehova ni watu wake;+Yakobo ndiye mgawo anaorithi.+ 2 Samweli 21:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Daudi akawaambia Wagibeoni: “Niwatendee nini, nami nitafanya upatanisho+ kwa kutumia nini, ili muubariki urithi+ wa Yehova?”
5 Na sasa ikiwa mtaitii+ sauti yangu kabisa na kulishika kwa kweli agano+ langu, ndipo hakika mtakapokuwa mali yangu ya pekee kutoka kati ya vikundi vingine vyote vya watu,+ kwa sababu dunia nzima ni yangu.+
3 Na Daudi akawaambia Wagibeoni: “Niwatendee nini, nami nitafanya upatanisho+ kwa kutumia nini, ili muubariki urithi+ wa Yehova?”