Kutoka 32:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na ikawa kwamba siku ileile iliyofuata, Musa akawaambia watu: “Ninyi—ninyi mmetenda dhambi kubwa,+ na sasa nitapanda kwenda kwa Yehova. Huenda nitaweza kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.”+ Mambo ya Walawi 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye ataweka mkono wake juu ya kichwa cha toleo hilo la kuteketezwa, nalo litakubaliwa+ kwa neema ili afanye upatanisho kwa ajili yake.+
30 Na ikawa kwamba siku ileile iliyofuata, Musa akawaambia watu: “Ninyi—ninyi mmetenda dhambi kubwa,+ na sasa nitapanda kwenda kwa Yehova. Huenda nitaweza kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.”+
4 Naye ataweka mkono wake juu ya kichwa cha toleo hilo la kuteketezwa, nalo litakubaliwa+ kwa neema ili afanye upatanisho kwa ajili yake.+