Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 14:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Ndipo Yehova akasema: “Ninasamehe kulingana na neno lako.+

  • Hesabu 16:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Haruni akakichukua mara moja, kama vile Musa alivyokuwa amesema, naye akakimbia kuingia katikati ya kutaniko; na, tazama! pigo lilikuwa limeanza katikati ya watu. Basi akatia uvumba juu yake na kuanza kufanya upatanisho kwa ajili ya watu.

  • Hesabu 21:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Mwishowe watu wakamjia Musa na kusema: “Tumetenda dhambi,+ kwa sababu tumesema dhidi ya Yehova na dhidi yako. Tutetee kwa Yehova awaondoe nyoka hawa juu yetu.”+ Naye Musa akawatetea watu.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nami nikajilaza kifudifudi mbele za Yehova, kama mara ya kwanza, siku 40, mchana na usiku. Sikula mkate wala kunywa maji,+ kwa sababu ya dhambi zenu zote mlizokuwa mmetenda kwa kutenda uovu machoni pa Yehova ili kumtia uchungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki