-
Hesabu 16:47Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
47 Mara moja Haruni akachukua chetezo, kama Musa alivyomwambia, akakimbia katikati ya kusanyiko hilo, na pigo lilikuwa limeanza kuwaathiri watu. Basi akaweka uvumba juu ya chetezo, akaanza kuufukiza ili dhambi yao ifunikwe.
-