Kutoka 34:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye akaendelea kuwa huko pamoja na Yehova siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala hakunywa maji.+ Naye akaandika juu ya yale mabamba maneno ya lile agano, yale Maneno Kumi.+
28 Naye akaendelea kuwa huko pamoja na Yehova siku 40, mchana na usiku. Hakula mkate wala hakunywa maji.+ Naye akaandika juu ya yale mabamba maneno ya lile agano, yale Maneno Kumi.+