Kumbukumbu la Torati 9:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nami nikajilaza kifudifudi mbele za Yehova, kama mara ya kwanza, siku 40, mchana na usiku. Sikula mkate wala kunywa maji,+ kwa sababu ya dhambi zenu zote mlizokuwa mmetenda kwa kutenda uovu machoni pa Yehova ili kumtia uchungu.+ Mathayo 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Alipokuwa amefunga siku 40,+ mchana na usiku, akaona njaa.
18 Nami nikajilaza kifudifudi mbele za Yehova, kama mara ya kwanza, siku 40, mchana na usiku. Sikula mkate wala kunywa maji,+ kwa sababu ya dhambi zenu zote mlizokuwa mmetenda kwa kutenda uovu machoni pa Yehova ili kumtia uchungu.+