1 Samweli 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na dhambi ya watumishi hao ikaja kuwa kubwa sana mbele za Yehova;+ kwa kuwa watu hao hawakuliheshimu toleo la Yehova.+ 1 Samweli 12:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Basi Samweli akawaambia watu: “Msiogope.+ Ninyi—mmefanya uovu huu wote. Ila tu msigeuke kando mwache kumtumikia Yehova,+ nanyi lazima mmtumikie Yehova kwa moyo wenu wote.+
17 Na dhambi ya watumishi hao ikaja kuwa kubwa sana mbele za Yehova;+ kwa kuwa watu hao hawakuliheshimu toleo la Yehova.+
20 Basi Samweli akawaambia watu: “Msiogope.+ Ninyi—mmefanya uovu huu wote. Ila tu msigeuke kando mwache kumtumikia Yehova,+ nanyi lazima mmtumikie Yehova kwa moyo wenu wote.+