1 Samweli 2:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Kwa nini mnaendelea kuipiga teke dhabihu+ yangu na toleo langu ambalo nimeamuru katika makao yangu,+ nawe unaendelea kuwaheshimu wana wako kuliko mimi kwa ninyi kujinenepesha+ kutokana na sehemu bora zaidi za kila toleo la watu wangu Israeli?+ Isaya 9:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na wale wanaowaongoza watu hawa ndio wanaowapoteza;+ na wale kati yao wanaoongozwa, ndio wanaovurugwa.+
29 Kwa nini mnaendelea kuipiga teke dhabihu+ yangu na toleo langu ambalo nimeamuru katika makao yangu,+ nawe unaendelea kuwaheshimu wana wako kuliko mimi kwa ninyi kujinenepesha+ kutokana na sehemu bora zaidi za kila toleo la watu wangu Israeli?+
16 Na wale wanaowaongoza watu hawa ndio wanaowapoteza;+ na wale kati yao wanaoongozwa, ndio wanaovurugwa.+