18Ndipo kusanyiko lote la wana wa Israeli likakutanika Shilo,+ nao wakaweka huko lile hema la mkutano,+ kwa maana sasa nchi ilikuwa imetiishwa mbele yao.+
3 Na mtu huyo akawa akipanda kutoka jiji lake mwaka baada ya mwaka ili kusujudu+ na kutoa dhabihu kwa Yehova wa majeshi huko Shilo.+ Na hapo ndipo wana wawili wa Eli, Hofni na Finehasi,+ walikuwa makuhani kwa Yehova.+