Hesabu 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nawe utawaweka rasmi Haruni na wanawe, nao lazima wautunze ukuhani+ wao; na mgeni yeyote atakayekaribia atauawa.”+ Kumbukumbu la Torati 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wamfundishe Yakobo hukumu zako+Na Israeli sheria yako.+Na watoe uvumba mbele za mianzi ya pua yako+Na toleo zima kwenye madhabahu yako.+ Malaki 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana midomo ya kuhani ndiyo inayopaswa kutunza ujuzi, na sheria ndiyo ambayo watu wanapaswa kutafuta kutoka kinywani mwake;+ kwa maana yeye ndiye mjumbe wa Yehova wa majeshi.+
10 Nawe utawaweka rasmi Haruni na wanawe, nao lazima wautunze ukuhani+ wao; na mgeni yeyote atakayekaribia atauawa.”+
10 Na wamfundishe Yakobo hukumu zako+Na Israeli sheria yako.+Na watoe uvumba mbele za mianzi ya pua yako+Na toleo zima kwenye madhabahu yako.+
7 Kwa maana midomo ya kuhani ndiyo inayopaswa kutunza ujuzi, na sheria ndiyo ambayo watu wanapaswa kutafuta kutoka kinywani mwake;+ kwa maana yeye ndiye mjumbe wa Yehova wa majeshi.+