Mambo ya Walawi 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 na ili kuwafundisha wana wa Israeli+ masharti yote ambayo Yehova amesema kupitia Musa.” Kumbukumbu la Torati 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 nawe utaenda kwa makuhani+ Walawi, na kwa mwamuzi+ atakayekuwa akitenda siku hizo, nawe utauliza, nao watakupa neno la uamuzi wa hukumu.+ Yeremia 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wakasema: “Njooni, tutafakari juu ya Yeremia wazo fulani,+ kwa maana sheria haitaangamia kutoka kwa kuhani+ au shauri kutoka kwa mwenye hekima au neno kutoka kwa nabii.+ Njooni tumpige kwa ulimi,+ nasi tusisikilize lolote la maneno yake.”
9 nawe utaenda kwa makuhani+ Walawi, na kwa mwamuzi+ atakayekuwa akitenda siku hizo, nawe utauliza, nao watakupa neno la uamuzi wa hukumu.+
18 Nao wakasema: “Njooni, tutafakari juu ya Yeremia wazo fulani,+ kwa maana sheria haitaangamia kutoka kwa kuhani+ au shauri kutoka kwa mwenye hekima au neno kutoka kwa nabii.+ Njooni tumpige kwa ulimi,+ nasi tusisikilize lolote la maneno yake.”