Yeremia 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wakasema: “Njooni, tupange njama dhidi ya Yeremia,+ kwa maana sheria haitatoweka* kutoka kwa makuhani wetu au shauri kutoka kwa watu wenye hekima au neno kutoka kwa manabii. Njooni tumshambulie kwa maneno,* nasi tusisikilize anachosema.” Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 18:18 Mnara wa Mlinzi,4/1/1988, uku. 26
18 Nao wakasema: “Njooni, tupange njama dhidi ya Yeremia,+ kwa maana sheria haitatoweka* kutoka kwa makuhani wetu au shauri kutoka kwa watu wenye hekima au neno kutoka kwa manabii. Njooni tumshambulie kwa maneno,* nasi tusisikilize anachosema.”