Zaburi 52:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+ Methali 18:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kifo na uzima viko katika nguvu za ulimi,+ naye anayeupenda atakula matunda yake.+
2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+