Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kinywa cha mwadilifu—hicho huzaa tunda la hekima,+ lakini ulimi wa upotovu utakatiliwa mbali.+

  • Methali 11:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Matunda ya mwadilifu ni mti wa uzima,+ naye anayevuta nafsi za watu ni mwenye hekima.+

  • Mathayo 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hata hivyo, mambo yanayotoka katika kinywa hutoka moyoni, na mambo hayo humtia mtu unajisi.+

  • Waefeso 4:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Neno lililooza na lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno lolote ambalo ni jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwape wasikiaji lile linalofaa.+

  • Yakobo 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Basi, ulimi ni moto.+ Ulimi ni ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu kati ya viungo vyetu, kwa maana huutia doa mwili+ wote na kuuwasha moto mzunguko wa uhai wa asili nao huwashwa moto na Gehena.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki