Zaburi 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana katika kinywa chao hakuna lolote lenye kutegemeka;+Sehemu yao ya ndani ni shida kwelikweli.+Koo yao ni kaburi lililo wazi;+Wanatumia ulimi laini.+ Marko 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Tena akasema: “Kile ambacho hutoka ndani ya mtu ndicho humtia mtu unajisi;+ Waroma 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Koo yao ni kaburi lililo wazi, wamedanganya kwa ndimi zao.”+ “Sumu ya nyoka iko nyuma ya midomo yao.”+
9 Kwa maana katika kinywa chao hakuna lolote lenye kutegemeka;+Sehemu yao ya ndani ni shida kwelikweli.+Koo yao ni kaburi lililo wazi;+Wanatumia ulimi laini.+
13 “Koo yao ni kaburi lililo wazi, wamedanganya kwa ndimi zao.”+ “Sumu ya nyoka iko nyuma ya midomo yao.”+