Zaburi 5:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana katika kinywa chao hakuna lolote lenye kutegemeka;+Sehemu yao ya ndani ni shida kwelikweli.+Koo yao ni kaburi lililo wazi;+Wanatumia ulimi laini.+ Zaburi 52:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+
9 Kwa maana katika kinywa chao hakuna lolote lenye kutegemeka;+Sehemu yao ya ndani ni shida kwelikweli.+Koo yao ni kaburi lililo wazi;+Wanatumia ulimi laini.+
2 Ulimi wako hupanga hila za kuleta shida, ukiwa umenolewa kama wembe,+Ukifanya kazi kwa udanganyifu.+