Methali 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Utulivu wa ulimi ni mti wa uzima,+ lakini upotovu wake humaanisha kuvunjika katika roho.+ 2 Wakorintho 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana ninyi mnaonyeshwa kuwa barua ya Kristo ambayo sisi tuliandika tukiwa wahudumu,+ iliyoandikwa si kwa wino bali kwa roho+ ya Mungu aliye hai, si juu ya mabamba ya mawe,+ bali juu ya mabamba ya nyama, juu ya mioyo.+
3 Kwa maana ninyi mnaonyeshwa kuwa barua ya Kristo ambayo sisi tuliandika tukiwa wahudumu,+ iliyoandikwa si kwa wino bali kwa roho+ ya Mungu aliye hai, si juu ya mabamba ya mawe,+ bali juu ya mabamba ya nyama, juu ya mioyo.+