Zaburi 37:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+ Methali 10:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kinywa cha mwadilifu ni chemchemi ya uzima;+ lakini kinywa cha waovu, hufunika jeuri.+
30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+