Mathayo 12:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+ Waefeso 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Neno lililooza na lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno lolote ambalo ni jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwape wasikiaji lile linalofaa.+ Wakolosai 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno yenu na yawe yenye neema sikuzote,+ yenye kukolezwa chumvi,+ ili mjue jinsi mnavyopaswa kumjibu+ kila mtu.
35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+
29 Neno lililooza na lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno lolote ambalo ni jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwape wasikiaji lile linalofaa.+
6 Maneno yenu na yawe yenye neema sikuzote,+ yenye kukolezwa chumvi,+ ili mjue jinsi mnavyopaswa kumjibu+ kila mtu.