52 Ndipo akawaambia: “Ikiwa ni hivyo, kila mfundishaji wa watu wote, anapofundishwa kuhusiana na ufalme wa mbinguni,+ ni kama mtu, mwenye nyumba, ambaye hutoa katika hazina yake vitu vipya na vya zamani.”+
45 Mtu mwema hutokeza mema katika hazina njema+ ya moyo wake, lakini mtu mwovu hutokeza maovu katika hazina yake mbovu; kwa maana kutokana na wingi wa moyo kinywa chake husema.+
6 Basi, ulimi ni moto.+ Ulimi ni ulimwengu wa ukosefu wa uadilifu kati ya viungo vyetu, kwa maana huutia doa mwili+ wote na kuuwasha moto mzunguko wa uhai wa asili nao huwashwa moto na Gehena.*