Zaburi 37:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+ Methali 11:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Matunda ya mwadilifu ni mti wa uzima,+ naye anayevuta nafsi za watu ni mwenye hekima.+ Mathayo 12:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+ Yakobo 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 jueni kwamba yeye anayemrudisha mtenda-dhambi kutoka kwenye kosa+ la njia yake ataiokoa nafsi yake kutoka kwenye kifo+ naye atafunika dhambi nyingi.+
30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+
35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+
20 jueni kwamba yeye anayemrudisha mtenda-dhambi kutoka kwenye kosa+ la njia yake ataiokoa nafsi yake kutoka kwenye kifo+ naye atafunika dhambi nyingi.+