Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kinywa cha mwadilifu ndicho kinachotamka hekima kwa sauti ya chini,+

      Na ulimi wake ndio unaosema kwa njia ya haki.+

  • Methali 11:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Matunda ya mwadilifu ni mti wa uzima,+ naye anayevuta nafsi za watu ni mwenye hekima.+

  • Mathayo 12:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Mtu mwema hutoa mambo mema kutoka katika hazina yake njema,+ lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya kutoka katika hazina yake mbaya.+

  • Yakobo 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 jueni kwamba yeye anayemrudisha mtenda-dhambi kutoka kwenye kosa+ la njia yake ataiokoa nafsi yake kutoka kwenye kifo+ naye atafunika dhambi nyingi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki