Mhubiri 10:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mwanzo wa maneno ya kinywa chake ni upumbavu,+ na mwisho wa kinywa chake ni wazimu wenye msiba. Mathayo 12:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+ Yakobo 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hivyo, pia, ulimi ni kiungo kidogo na bado hujigamba kwa njia kubwa.+ Tazameni! Ni moto mdogo tu unaohitajika ili kuuwasha mwitu mkubwa!
34 Uzao wa nyoka-vipiri,+ mnawezaje kusema mambo mema, wakati ninyi ni waovu?+ Kwa maana kinywa kinasema kutokana na mambo yaliyojaa katika moyo.+
5 Hivyo, pia, ulimi ni kiungo kidogo na bado hujigamba kwa njia kubwa.+ Tazameni! Ni moto mdogo tu unaohitajika ili kuuwasha mwitu mkubwa!