Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 20:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana siku zote ambazo mwana wa Yese atakuwa hai katika nchi, wewe na ufalme wako hutasimama imara.+ Basi sasa tuma watu umlete kwangu, kwa maana amekusudiwa kufa.”+

  • 1 Samweli 25:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini Nabali akawajibu watumishi wa Daudi na kusema: “Daudi ni nani,+ na mwana wa Yese ni nani? Siku hizi watumishi wanaotoroka, kila mmoja kutoka mbele ya bwana wake, wamekuwa wengi.+

  • 2 Wafalme 6:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye akaendelea kusema: “Mungu na anifanyie hivyo, naye azidishe hilo, kichwa cha Elisha mwana wa Shafati kikiendelea kusimama juu yake leo!”+

  • Luka 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini wakaingiwa na wazimu, nao wakaanza kuzungumza wao kwa wao jambo ambalo wangeweza kumtendea Yesu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki