1 Samweli 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Sauli akaanza kukasirika sana,+ na neno hilo lilikuwa baya kwa maoni yake, hivi kwamba akasema: “Wamempa Daudi makumi ya maelfu, lakini mimi wamenipa maelfu, basi inabaki tu apewe ufalme!”+
8 Na Sauli akaanza kukasirika sana,+ na neno hilo lilikuwa baya kwa maoni yake, hivi kwamba akasema: “Wamempa Daudi makumi ya maelfu, lakini mimi wamenipa maelfu, basi inabaki tu apewe ufalme!”+