Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo Sauli akaitii sauti ya Yonathani, na Sauli akaapa: “Kama Yehova anavyoishi,+ yeye hatauawa.”

  • Zaburi 79:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kuugua kwa mfungwa na kuingie mbele zako.+

      Kulingana na ukuu wa mkono wako, uwahifadhi wale waliochaguliwa kwa ajili ya kifo.+

  • Mhubiri 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+

  • Mhubiri 8:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa sababu neno la mfalme ndilo nguvu za kudhibiti;+ na ni nani anayeweza kumwambia: ‘Unafanya nini?’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki