1 Samweli 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo Sauli akaitii sauti ya Yonathani, na Sauli akaapa: “Kama Yehova anavyoishi,+ yeye hatauawa.” Zaburi 79:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kuugua kwa mfungwa na kuingie mbele zako.+Kulingana na ukuu wa mkono wako, uwahifadhi wale waliochaguliwa kwa ajili ya kifo.+ Mhubiri 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+ Mhubiri 8:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu neno la mfalme ndilo nguvu za kudhibiti;+ na ni nani anayeweza kumwambia: ‘Unafanya nini?’”
11 Kuugua kwa mfungwa na kuingie mbele zako.+Kulingana na ukuu wa mkono wako, uwahifadhi wale waliochaguliwa kwa ajili ya kifo.+
13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+
4 Kwa sababu neno la mfalme ndilo nguvu za kudhibiti;+ na ni nani anayeweza kumwambia: ‘Unafanya nini?’”