Methali 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mtu yeyote aliye maskini ambaye anatembea katika utimilifu ni bora+ kuliko mtu mwenye midomo iliyopotoka, na ambaye ni mjinga.+ Methali 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Afadhali maskini anayetembea katika utimilifu wake kuliko mtu yeyote aliyepotoka katika njia zake, ingawa ni tajiri.+ Mhubiri 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndani yake mkapatikana mtu mwenye uhitaji lakini mwenye hekima, naye akaliokoa jiji hilo kwa sababu ya hekima yake.+ Lakini hakuna mtu aliyemkumbuka yule mtu mhitaji.+
19 Mtu yeyote aliye maskini ambaye anatembea katika utimilifu ni bora+ kuliko mtu mwenye midomo iliyopotoka, na ambaye ni mjinga.+
6 Afadhali maskini anayetembea katika utimilifu wake kuliko mtu yeyote aliyepotoka katika njia zake, ingawa ni tajiri.+
15 Ndani yake mkapatikana mtu mwenye uhitaji lakini mwenye hekima, naye akaliokoa jiji hilo kwa sababu ya hekima yake.+ Lakini hakuna mtu aliyemkumbuka yule mtu mhitaji.+