1 Samweli 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na sasa ujue na kuona jambo la kufanya, kwa maana msiba umeazimiwa+ juu ya bwana wetu na juu ya nyumba yake yote, kwa maana yeye ni mtu asiyefaa kitu+ sana hata mtu hawezi kusema naye.” Methali 28:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Afadhali maskini anayetembea katika utimilifu wake kuliko mtu yeyote aliyepotoka katika njia zake, ingawa ni tajiri.+ Mathayo 12:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 kwa maana kwa maneno yako utatangazwa kuwa mwadilifu, na kwa maneno yako utahukumiwa.”+
17 Na sasa ujue na kuona jambo la kufanya, kwa maana msiba umeazimiwa+ juu ya bwana wetu na juu ya nyumba yake yote, kwa maana yeye ni mtu asiyefaa kitu+ sana hata mtu hawezi kusema naye.”
6 Afadhali maskini anayetembea katika utimilifu wake kuliko mtu yeyote aliyepotoka katika njia zake, ingawa ni tajiri.+